DKT NCHIMBI ATANGAZA NEEMA SINGIDA
MkuuwaMkoa wa Singida Dtk. RehemaNchimbi k atikati akiongoza Kongamano la Fursa za Uwekezaj ikwenye Mkoa wa Singida, Kulia ni Katibu wa CCM Mkoa wa Singida Lucy Sheen, kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Angelina Lutambi. Wakuu waWilaya zaMkoawaSingida(kwenye mstari wa kwanza) wakifuatilia Mada mbalimbali wakati wa Kongamano la uwekezaji Mkoani Singida. AfisaUhamasishaji Uwekezaji Mkuu kutoka Kituo cha Uwekezaji nchini, Joyce Shundu akiwasilisha mada ya “ Mazingira na Fursa za Uwekezaji Nchini” amepongeza jitihada na mikakati mbalimbali inayofanywa na MkoawaSingida Viongozi wa Wachimbaji Madini Mkoa wa Singida wakiwa kwenye banda lao wakionyesha madini mbalimbali kwa wadau waliotembelea banda la wachimbaji wa madini Mkoa wa Singida (SIREMA). Wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo wakionyesha bidhaa zao RAS ASEMA MKOA UMEJIANDAA KIKAMILIFU Na John Mapepele, Singida Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe, Dkt. Rehema Nchimbi amewataka Wawekezaji kutoka...