Posts

Showing posts from October, 2020

WATUMISHI TUME YA MADINI WATAKIWA KUWA WAADILIFU

Image
  Na Greyson Mwase Watumishi wa Tume ya Madini nchini wametakiwa kuwa waadilifu kwenye utendaji wa shughuli zao za kila siku hivyo kuendelea kujenga taswira chanya kwenye Sekta ya Madini. Wito huo umetolewa leo tarehe 22 Oktoba, 2020 na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, *Profesa Shukrani Manya* kwenye ziara yake ya kikazi yenye lengo la kukagua shughuli za Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mbeya pamoja na kutatua changamoto mbalimbali. Katika ziara yake Profesa Manya ameambatana na Meneja Utawala na Rasilimaliwatu, Gift Kilimwomeshi na kupokelewa na Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mbeya, Godson Kamihanda. Akizungumza na watumishi hao, Profesa Manya amesema kuwa, Wizara ya Madini kupitia Tume ya Madini imejipanga katika kuhakikisha Sekta ya Madini inakuwa na mchango mkubwa kwenye Sekta ya Madini,  na kusisitiza kuwa uadilifu kwenye utendaji kazi unahitajika ili kuvutia wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kuwekeza kwenye Sekta ya Madini. Katika hatua nyingine, Profesa Man...

VIONGOZI WA DINI MKOANI SINGIDA WAJA NA MAAZIMIO SABA UCHAGUZI MKUU

Image
     Mwenyekiti wa Kamati ya  Amani ya Viongozi wa Dini  na Madhehebu mbalimbali Mkoa wa Singida,(aliyesimama)Hamis Muhamed Kisuke akiongoza kikao ambapo walizungumzia  hali ya amani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu na kuja na maazimo saba. (Picha na Rose Nyangasa). Mkuu wa Mkoa  wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi  akizungumza na Kamati  ya Amani ya Viongozi wa Dini na Madhehebu  mbalimbali Mkoa wa Singida ambapo ameipongeza Kamati hiyo kwa kuamua  kuhamasisha amani na utulivu kwenye  kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu (Picha na Rose Nyangasa)   Wajumbe wa Kamati ya Amani Mkoa wa Singida wakimsikiliza kwa makini Kamanda wa Polisi wa MKoa wa Singida, Sweetbert Njewike (hayupo pichani) wakati akielezea majukumu ya jeshi hilo kwenye siku ya upigaji kura Oktoba 28, mwaka huu. (Picha na Rose Nyangasa).        Kamanda wa Polisi wa MKoa wa Sin...